RUMA AFRICA INVITE YOU TO WATCH EMMANUEL TV LIVE

PROPHET TB JOSHUA INVITED RULEA SANGA FROM TANZANIA TO SEE HIM -SCOAN NIGERIAL APRIL 2012

T.B. JOSHUA EMPOWERS SCOAN LONDON 1ST SEPTEMBER 2013 SERVICE!

Wednesday, July 31, 2013

PHOTOCOPY YA STICKER YA NABII TB. JOSHUA NA TONE LA ANOINTING WATER VYA BADILISHA MAISHA YA ROSE MWAIHOJO


Rose Mwaihojo amekuwa akimuota sana Nabii Tb Joshua kwa muda mrefu, na alikuwa akitamani sana kuonana naye lakini hakuweza kubahatika kuonana naye. Rose amekuwa akitamani sana kupta Anointing Water na Sticker akiamini kuwa akitumia tu maisha yake na matatizo yake yata kwisha. Rose amekuwa akijibiisha katika kutafuta Anointing Water na sticker kwa nguvu zote.

Rose Mwaihojo alikuwa akitafuta sana Anointing Water ya Nabii TB Joshua bila ya mafanikio kwa muda mrefu sana.  Alikuja kubahatika na kupata tone la Anointing Water kutoka kwa rafiki yake anaishi Dar es Salaam. Rose aliweza kuchanganya na maji ya kawaida na aliweza kuyatumia hayo maji yaliochanganywa na Anointing Water, na alipokunywa alitapika sana.

Rose aliweza kubahatika kukamata sticker ya Nabii TB Joshua kutoka kwa rafiki yake na  alipokamata tu mikono yake ilianza kupata ganzi, tumbo lake lilianza kuvurugika. Baada ya hapo alimuomba rafiki yake akatoe photocopy ya hiyo sticker akiamini itafanya jambo katika maisha yake. Rose alisema alipoitoa photocopy alienda nyumbani kwake nakuweka chini ya mto wa kulalia na alipoweka tu alisikia sauti ikisema "Toa Hivyo Vitu" .

Hali yake kiuchumi na kiafya tangia ametumia sticker hiyo na Anointing Water imeanza kubadilika kwani hapo nyuma alikuwa na matatzo makubwa sana kipindi hajatumia sticker hiyo na Anointing Water. Alisema, Kabla ya ya kutendewa muujiza huo, alikuwa akimuota sana Nabii TB Joshua katika ndoto.

Dada huyu anaomba sana maombi ya Nabii TB Joshua ili aweze kufanikiwa katika mitihani yake aliyofanya.

Unaweza kuwasiliana na Rose kwa simu +255 755440648 kwa ushuhuda zaidi

Mwandishi
Rulea Sanga
www.rumaafrica.blogspot.com
+255 715851523

2 comments:

  1. My name is Mrs Oben Eveline Ayuk, i've laboured with heart failure and peptic ulcer for six years. I have visited many hospitals in both Texas and Georgia but could not really get any respite. I suffered from severe weakness and had difficulty eating food and drinking water. I virtually lived on medication all through those six years. The doctors advised me against eating starchy foods. They also told me to avoid foods high in cholesterol. In an effort to normalise my lifestyle as much as possible, they offered me an option of temporary relief at a very high price. They said that I would have to provide a whopping 4 million francs to have a special instrument known as a battery inserted into my heart as a palliative measure.

    Thinking that was the end of my life here on earth, along the way, a woman called Mrs Florence Oseremen introduced me to Emmanuel TV and also sent me the Morning Water which i started ministering to myself in faith, I continued to minister it amidst prayers. Gradually, all those debilitating symptoms started giving way to renewed vigour and better well-being. I became strong once again and could do all those things she could not do before now. I now eats good food and drinks water, irrespective of the quantity. To confirm God’s marvellous work in my life, I returned to the hospital and did some tests. When the results were released, they showed that both the heart problem and peptic ulcer were no more. “For all Christians who centre their lives on Jesus Christ, better is not good enough; the best is yet to come.”

    The God of prophet TB Joshua is a wonder working God, if you are outside Nigeria and you need morning water, contact Sister florence Oseremen. ( florenceoseremen@gmail.com ) and expect your breakthrough also. Thanks

    ReplyDelete
  2. My Testimony to the world,Am grateful to whatsapp+2348152163667 or email tbjoshuascoan50@gmail.com i was helped by man of God prophet Tb Joshua ,He sent me his miraculous,healing blessing morning Water and directed me on how to pray with it,and i followed his instructions ,Behold today i am healed from sickness, diseases and cancer,am also free from all Afflictions failure and limitations he wipe away my tears,we are living happily in my family, if you have any problem also  write him on whatsapp +2348152163667 or email tbjoshuascoan50@gmail.com for prayers and morning water he can also help you get breakthrough and help you in all works of life

    ReplyDelete