Pages

Thursday, June 7, 2012

TUNAMSHUKURU NABII TB JOSHUA KWA UPENDO ALIOTUFANYIA WATANZANIA HUKO NIGERIA-SCOAN.

MBALI NA CHAKULA CHA  KIROHO TULIPATA NA CHAKULA CHA KIMWILI KAMA UNAVYOONA KATIKA PICHA HAPO CHINI:

Blogger, Graphic Designer, Rulea Sanga
Musician wa Glorious Celebration, Emmanuel Mabisa
 Rulea Sanga
 Jamani Mungu mwema, full kushiba
 Duh nitamaliza kweli, nakushukuru Mungu
 Tumeshia, tunakushukuru Mungu

 Makaranga kulia akifurahia chakula kitamu alichokipata
 Rulea Sanga kulia na mchungaji Charles
 Rulea Sanga (kushoto) akipiga picha baada ya breakifast siku ya jumapili
 Duh mimi siseme, utukufu kwa Mungu
 Dinning
 Makaranga
 Wakisubiria chakula
 Ahsante Nabii TB Joshua
 Mwana kula.....kwa raha zako, hiyo ndiyo faida ya kumtumikia Mungu
 Hahahahahah.....kitamu sana

 Mchungaji Charles akituhubiria kabla ya chakula


 Hii ilikuwa ni siku ya jumapili

POSTED BY Rulea Sanga from www.rumaafrica.blogspot.com

No comments:

Post a Comment